Mwombaji wa kitamaduni

Jemima Kiarie
By Jemima Kiarie December 02, 2017 08:57 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mzee Stephen Oruma Nkaru hualikwa katika siku kuu za kitaifa kama vile siku ya Jamhuri, Mashujaa, Madaraka Dei kuomba. Halfla ya hivi punde ilikuwa siku ya kuwaapisha rais uhuru Kenyatta na naibu wake William ruto kuchukua hatamu za uongozi kwa awamu ya pili. Kwa nini serikali humwalika mzee huyu wa jamii ya wamaasai kuongoza maombi katika mikutano mikuu? Nancy Chepkoech alimtembelea nyumbani kwakwe kijijini Ilbisil kaunti ya Kajiado na kuandaa makala ifuatayo

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!