Makadinali wote wa dehebu la Legio Maria watimuliwa
Audio By Vocalize
Papa Romanus Ongombe wa kanisa la Legio Maria amefuta makadinali wote wa kanisa hiloHaya yanajiri majuma mawili baada ya baadhi ya viongozi walilalamikia uwepo wa msichana mmoja ambaye alipiga kambi katika mji wa papa na kumfanya kuwatelekeza wafuasi wake. Papa kwa sasa anakashifu kuwa na umri wake wa miaka 94 hana hamu ya mwanamke, anavyotuarifu Kassim Mwalimu Adinasi kutoka jimbo la Migori

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!