Marende Ateuliwa Kenya Power

citizen
By citizen January 05, 2015 05:56 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Aliyekuwa spika wa bunge la taifa kenneth marende hii leo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodi la wakurugenzi wa kampuni ya kenya power and lighting. Marende ambaye anachukua uongozi baada ya Eliazar Ochola, sasa amekuwa mwenyekiti wa ishirini na tano katika kipindi cha miaka tisaini na nne tangu kuzinduliwa kwa kampuni hiyo.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!