Marende Ateuliwa Kenya Power
Audio By Vocalize
Aliyekuwa spika wa bunge la taifa kenneth marende hii leo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodi la wakurugenzi wa kampuni ya kenya power and lighting. Marende ambaye anachukua uongozi baada ya Eliazar Ochola, sasa amekuwa mwenyekiti wa ishirini na tano katika kipindi cha miaka tisaini na nne tangu kuzinduliwa kwa kampuni hiyo.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!