Makadinali wote wa dehebu la Legio Maria watimuliwa

citizen
By citizen September 03, 2016 09:00 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Papa Romanus Ongombe wa kanisa la Legio Maria amefuta makadinali wote wa kanisa hiloHaya yanajiri majuma mawili baada ya baadhi ya viongozi walilalamikia uwepo wa msichana mmoja ambaye alipiga kambi katika mji wa papa na kumfanya kuwatelekeza wafuasi wake. Papa kwa sasa anakashifu kuwa na umri wake wa miaka 94 hana hamu ya mwanamke, anavyotuarifu Kassim Mwalimu Adinasi kutoka jimbo la Migori

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!