Mbunge wa Nyeri mjini aomba JSC imfute kazi Jaji Maraga
Audio By Vocalize
Mbunge wa Nyeri mjini Wambugu Ngunjiri ameiomba tume inayosimamia idara ya mahakama JSC kumchunguza Jaji Mkuu David Maraga kwa lengo la kumwondoa afisini, akisema alivunja sheria katika uamuzi wa kesi dhidi ya matokeo ya urais ambapo alifutilia mbali kuchaguliwa kwa rais Uhuru Kenyatta. Maombi ya Ngunjiri hata hivyo yamekemewa na viongozi kadhaa kutoka Jubilee na NASA huku wale kutoka eneo la kisii chini ya Jubilee wakimtaka Wambugu kuondoa ombi hilo kufikia kesho.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!