Mama ateketea Baringo

Emmanuel Terer
By Emmanuel Terer October 08, 2018 07:25 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Mama ateketea Baringo
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mwanamke mmoja amefariki kutokana na moto unaoaminika kusababishwa na mlipuko wa jiko la stovu uliosambaa na kuchoma nyumba kadhaa usiku wa kuamkia leo eneo la Bondeni, Baringo ya Kati.

Walioshuhudia wanasema mlipuko huo ulisikika mwendo wa saa sita usiku na kufuatiwa na moto mkubwa uliowashinda kuudhibiti.

Wakaazi wametoa wito kwa idara ya kushughulikia majanga ya moto kaunti ya baringo iwe macho kunapotokea ajali za moto.

Mtu mmoja aliyepata majeraha amepelekwa katika hospitali ya rufaa ya kabarnet kwa matibabu zaidi.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!