‘Yaliyondwele sipite’ Msanii atunga wimbo akitumia usemi wa Wavinya

Walisema wahenga; ukitaka cha mvunguni sharti uiname, na ni kweli hasa msimu huu wa siasa kila upande unachachawiza ukitaka ushindi na wasanii hawajaachwa nyuma. Huu ni msimu wa ubunifu wa namna yake na hakuna anayefahamu wakati wa kuvuna kama msanii. kwa sababu haja yake kubwa ni kusoma mazingira yake vizuri na asikize kwa makini. Anne Mawathe anakuarifu kuhusu usanii wa siasa.

Tags:

SIAYA Wavinya Ndeti yaliyondwele sipite Ukamabani

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories