Watu mashuhuri wanaohusishwa na mihadarati watiwa mbaroni Tanzania

Na huko nchini Tanzania vita dhidi ya  mihadarati vimechukua mkondo mpya baada ya washukiwa wakuu kutiwa mbaroni. Miongoni mwa watu waliotajwa kwenye sakata hiyo ni pamoja na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA Freeman Mbowe.  Mwanahabari wetu Samuel Mwalongo anaarifu zaidi kutoka Tanzania.

Tags:

Tanzania John Magufuli dawa za kulevya Mihadarati

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories