Watu 4 wakamatwa kwa utapeli Kimilili
Published on: June 14, 2017 09:19 (EAT)
Watu wanne wamekamatwa mjini Kimilili kaunti ya Bungoma kwa kupakia upya unga iliyotolewa na serikali kwa bei ya chini kama njia mojawapo ya kukabiliana na ukosefu wa unga uliokuwa ukishuhudiwa humu nchini pamoja na kupunguza gharama ya unga kwa wakenya wote.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment