Tume ya NCIC yapinga hoja za kaunti ya Kiambu na Kilifi

Hoja za kaunti za Kiambu na Kilifi kuhusu kutoa asilimia sabini ya nafasi za kazi katika taasisi za umma na za kibinafsi kwa wenyeji pekee zimepigwa vita na tume ya utangamano na kutajwa kama ubaguzi ambao ni kinyume na katiba. Mwenyekiti wa NCIC ametishia kwenda mahakamani iwapo kaunti hizo zitapitisha sheria za kuruhusu hayo kufanyika.

Tags:

FERDINAND WAITITU NCIC kiambu Kilifi Amason Kilifi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories