NASA yakongamana katika uwanja wa Kamukunji
Published on: July 07, 2017 08:28 (EAT)
Kiongozi wa NASA Raila Odinga leo ameongoza viongozi wengine wa upinzani kwenye uwanja wa Kamukunji akiwarai wafuasi wake kumpigia kura hapo tarehe nane mwezi ujao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment