Gavana Wahome Gakuru azikwa kijijini Kirichu kaunti ya Nyeri

Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Nyeri Dkt. Patrick Wahome Gakuru amezikwa nyumbani kwake, katika kijiji cha kirichu, eneo bunge la Nyeri Mjini, na kuombolezwa kama kiongozi stadi, mwenye maono, aliyeelewa bayana manufaa ya ugatuzi na stadi wa masuala ya uchumi. Familia yake pia ilipata nafasi ya kumuaga mwana, mume, baba na ndugu, katika hafla ambapo siasa za kitaifa zilipenyeza.

Tags:

nyeri Wahome Gakuru

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories