Changamoto Za Walinda Pori

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Je, walinda pori zetu hukodolewa macho na hatari kwa kiasi kipi? Iwapo ulidhania maisha ni mazuri tu kwa maafisa walinda pori, umenoa kwani kifo  huakodolea macho kila mara. Mwanahabari wetu Philip Murutu alizungumza na baadhi ya maafisa hao akiwemo Lucy Nkoe walioponea kifo kwa tundu ya sindano katika makabiliano na wanyama hatari wa porini katika sehemu ya pili na ya mwisho ya makala yetu ya mauti porini na kutuandalia taarifa ifuatayo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.