‘Yaliyondwele sipite’ Msanii atunga wimbo akitumia usemi wa Wavinya

Anne Mawathe
By Anne Mawathe July 01, 2017 08:26 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Walisema wahenga; ukitaka cha mvunguni sharti uiname, na ni kweli hasa msimu huu wa siasa kila upande unachachawiza ukitaka ushindi na wasanii hawajaachwa nyuma. Huu ni msimu wa ubunifu wa namna yake na hakuna anayefahamu wakati wa kuvuna kama msanii. kwa sababu haja yake kubwa ni kusoma mazingira yake vizuri na asikize kwa makini. Anne Mawathe anakuarifu kuhusu usanii wa siasa.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!