Watu 4 akiwemo mwanamke mmoja wakamatwa kwa tuhuma za wizi

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru December 18, 2017 07:57 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Watu wanne akiwemo mwanamke mmoja wanazuiliwa na maafisi polisi kwa tuhuma za wizi katika maeneo ya Kilimani na Kileleshwa. Watu hao ambao walipatikana na funguo mia moja na vifaa vya kuvunja milango wanashukiwa kutekeleza wizi katika maeneo mbalimbali ambapo wakati wa mchana ambapo  wenye nyumba hawapo . Maafisa wa polisi wanawataka wananchi kuweka mikakati za kiusalama wanaposafiri kusherekea sikukuu ya krismasi na mwaka mpya.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!