Watu 12 wafariki kutokana na Kipindupindu
Audio By Vocalize
Idadi ya watu wanaougua maradhi ya kipundupindu kwa jumla humu nchini ni zaidi ya elfu moja huku wale ambao wamefariki wakiwa ni kumi na wawili. Haya yamesemwa na shirika la msalaba mwekundu huku harakati za kupambana na maradhi hayo zikiendelea.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!