Watu 12 wafariki kutokana na Kipindupindu

Anne Mawathe
By Anne Mawathe July 21, 2017 09:13 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Idadi ya watu wanaougua maradhi ya kipundupindu kwa jumla humu nchini ni zaidi ya elfu moja huku wale ambao wamefariki wakiwa ni kumi na wawili. Haya yamesemwa na shirika la msalaba mwekundu huku harakati za kupambana na maradhi hayo zikiendelea.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!