Ugonjwa huu unawapata wanaume pia

Anne Mawathe
By Anne Mawathe August 17, 2017 08:00 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mwanaume akiumwa anaambiwa usilie wewe ni mwanaume…na ndivyo maswala mengi yanayowakabiliwa naume huwa yanashughulikiwa…kimya kimya…ila tu kuna mengine ambayo huwa yanamkandamiza  mwanaume kiasi kwamba hasipozungumza, huenda yakazorotesha mustakabali wake. Leo hii tunaangazia maradhi ya nasuri au fistula kwa wanaume…Anne Mawathe anatupasha.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!