Ugonjwa huu unawapata wanaume pia
Audio By Vocalize
Mwanaume akiumwa anaambiwa usilie wewe ni mwanaume…na ndivyo maswala mengi yanayowakabiliwa naume huwa yanashughulikiwa…kimya kimya…ila tu kuna mengine ambayo huwa yanamkandamiza mwanaume kiasi kwamba hasipozungumza, huenda yakazorotesha mustakabali wake. Leo hii tunaangazia maradhi ya nasuri au fistula kwa wanaume…Anne Mawathe anatupasha.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!