Tume ya NCIC yapinga hoja za kaunti ya Kiambu na Kilifi

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru December 19, 2017 08:15 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Hoja za kaunti za Kiambu na Kilifi kuhusu kutoa asilimia sabini ya nafasi za kazi katika taasisi za umma na za kibinafsi kwa wenyeji pekee zimepigwa vita na tume ya utangamano na kutajwa kama ubaguzi ambao ni kinyume na katiba. Mwenyekiti wa NCIC ametishia kwenda mahakamani iwapo kaunti hizo zitapitisha sheria za kuruhusu hayo kufanyika.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!