Tume ya NCIC yapinga hoja za kaunti ya Kiambu na Kilifi
Audio By Vocalize
Hoja za kaunti za Kiambu na Kilifi kuhusu kutoa asilimia sabini ya nafasi za kazi katika taasisi za umma na za kibinafsi kwa wenyeji pekee zimepigwa vita na tume ya utangamano na kutajwa kama ubaguzi ambao ni kinyume na katiba. Mwenyekiti wa NCIC ametishia kwenda mahakamani iwapo kaunti hizo zitapitisha sheria za kuruhusu hayo kufanyika.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!