Siku ya Mashujaa haikuadhimishwa Migori, Kisumu na Siaya
Audio By Vocalize
Mbali na shehere ya siku ya mashujaa iliyoandaliwa katika bustani ya Uhuru hapa jijini Nairobi, wawakilishi wa serikali kuu katika kaunti mbali mbali waliwaongoza wakenya kuadhimisha sherehe hizo. Hata hivyo baadhi ya maeneo haswa yanayokisiwa kuwa ngome ya upinzani sherehe hizo hazikufanyika.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!