Siku ya Mashujaa haikuadhimishwa Migori, Kisumu na Siaya

Kadzo Gunga
By Kadzo Gunga October 20, 2017 08:56 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mbali na shehere ya siku ya mashujaa iliyoandaliwa katika bustani ya Uhuru hapa jijini Nairobi, wawakilishi wa serikali kuu katika kaunti mbali mbali waliwaongoza wakenya kuadhimisha sherehe hizo. Hata hivyo baadhi ya maeneo haswa yanayokisiwa kuwa ngome ya upinzani sherehe hizo hazikufanyika.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!