Ruto aonya upinzani, kuwa tayari kushindwa kwenye uchaguzi
Audio By Vocalize
Naibu Rais William Ruto amedai kuwa upinzani hauna mikakati ya kisiasa kushindania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao dhidi ya chama cha Jubilee. Akiongea kwenye hafla ya kumkaribisha katibu katika wizara ya habari mawasiliano na teknolojia Sammy Itemere katika eneo la Burendwa, eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega, Ruto alidai kuwa wapiga kura watapigia kura Jubilee kwani, chama hicho kimefanya maendeleo mengi.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!