Ruto aonya upinzani, kuwa tayari kushindwa kwenye uchaguzi

Shisia Wasilwa
By Shisia Wasilwa October 15, 2016 10:30 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Naibu Rais William Ruto amedai kuwa upinzani hauna mikakati ya kisiasa kushindania urais kwenye uchaguzi mkuu ujao dhidi ya chama cha Jubilee. Akiongea kwenye hafla ya kumkaribisha katibu katika wizara ya habari mawasiliano na teknolojia Sammy Itemere katika eneo la Burendwa, eneo bunge la Ikolomani kaunti ya Kakamega, Ruto alidai kuwa wapiga kura watapigia kura Jubilee kwani, chama hicho kimefanya maendeleo mengi.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!