Royal Media Services yatamba

Joan Mwai
By Joan Mwai September 24, 2016 08:57 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Watu wanaoishi na ulemavu kote nchini watanufaika kutokana na mradi wa kuwapa bidhaa za kuwawezesha kujikimu kimaisha iliyozinduliwa na shirika la Kenya Re pamoja na kampuni ya Royal Media Services inayomiliki runinga ya Citizen. Kwengineko ni kuwa wakazi wa nakuru hii leo walipata fursa ya kutangamana na watagangazaji wa Radio Citizen waliozuru mji huo kukutana na mashabiki na kuwatuza

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!