Rais na naibu wake washindwa kufikia muafaka

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru January 11, 2018 08:14 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Uundaji wa baraza la mawaziri unaonekana kuwapa kisunzi Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto. Hapo jana wawili hao walifanya kikao kwa saa nyingi katika ikulu ya Nairobi kujaribu kuafikia orodha kamili ya mawaziri bila muafaka kupatikana.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!