Rais na naibu wake washindwa kufikia muafaka
Audio By Vocalize
Uundaji wa baraza la mawaziri unaonekana kuwapa kisunzi Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto. Hapo jana wawili hao walifanya kikao kwa saa nyingi katika ikulu ya Nairobi kujaribu kuafikia orodha kamili ya mawaziri bila muafaka kupatikana.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!