Rais Kenyatta aongoza maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta kufariki

Jacques Masea
By Jacques Masea August 22, 2017 08:43 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Rais Kenyatta aongoza maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta kufariki
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Rais Uhuru Kenyatta hii leo ameongoza nchi katika kufanya maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, kufariki mnamo tarehe 22 mwezi Agosti mwaka 1978.

Katika hafla iliyoandaliwa katika kanisa la mtakatifu Stefano jijini Nairobi, rais Kenyatta aliwahimiza wakenya kuungana ili kulijenga taifa kama waanzilishi wetu walivyokusudia.

Aidha Naibu wake, William Ruto, aliapa kuwa serikali ya Jubilee itaendeleza misingi ya utangamano katika makabila yote 44 za kenya.

latest stories

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!