Rais Kenyatta aongoza maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu rais wa kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta kufariki
Audio By Vocalize
Rais Uhuru Kenyatta hii leo ameongoza nchi katika kufanya maadhimisho ya mwaka wa 39 tangu Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta, kufariki mnamo tarehe 22 mwezi Agosti mwaka 1978.
Katika hafla iliyoandaliwa katika kanisa la mtakatifu Stefano jijini Nairobi, rais Kenyatta aliwahimiza wakenya kuungana ili kulijenga taifa kama waanzilishi wetu walivyokusudia.
Aidha Naibu wake, William Ruto, aliapa kuwa serikali ya Jubilee itaendeleza misingi ya utangamano katika makabila yote 44 za kenya.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!