Rais Kenyatta aongoza kampeni za Jubilee Kakamega
Audio By Vocalize
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wamewahimiza wenyeji wa eneo la magharibi kukumbatia siasa za maendeleo na kutema zile za maneno matupu. Viongozi hao wawili walipigia debe azma yao ya kusalia ikulu kwa miaka mitano, huku wakiwataja wapinzani wao kama wasio na dira ya maendeleo. Na kama anavyoruarifu Francis Gachuri, kikapu chao kilisheheni matamu kwa wenyeji wa eneo ambalo limetambulika kama ngome ya muungano wa upinzani-NASA.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!