Rais Kenyatta aongoza kampeni za Jubilee Kakamega

Francis Gachuri
By Francis Gachuri June 17, 2017 07:58 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wamewahimiza wenyeji wa eneo la magharibi kukumbatia siasa za maendeleo na kutema zile za maneno matupu. Viongozi hao wawili walipigia debe azma yao ya kusalia ikulu kwa miaka mitano, huku wakiwataja wapinzani wao kama wasio na dira ya maendeleo. Na kama anavyoruarifu Francis Gachuri, kikapu chao kilisheheni matamu kwa wenyeji wa eneo ambalo limetambulika kama ngome ya muungano wa upinzani-NASA.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!