‘Raila asked Sakaja to find me a job,’ Gaucho says on Mama Lucy Hospital board appointment
Gaucho with the late former Prime Minister Raila Odinga. PHOTO | COURTESY
Audio By Vocalize
Controversial youth figure Calvince Okoth, popularly known as
Gaucho, has claimed that the late former Prime Minister Raila Odinga played a direct role in setting him
on the path to his recent appointment to the board of Mama Lucy Kibaki Hospital.
Speaking during a televised
interview, Gaucho said Odinga had personally indicated that he would engage
Nairobi Governor Johnson Sakaja to secure
him a position.
“Hii habari nilipokea nikiwa
kwangu nyumbani…ilikuwa usiku…ya kwamba ni kama ntapata kazi kwa board ya Mama
Lucy. Nilikuwa nishaskia hiyo story kama one and a half years ago ya kwamba
Sakaja anaweza nitafutia kazi…Raila Odinga ndiye aliniambia ya kwamba anaongea
na Sakaja ili atafute mahali aniweke,” he told NTV on Thursday evening.
According to Gaucho, he initially
treated the reports of his appointment as speculation, noting that the story
had circulated long before any official confirmation.
“So wakati niliambiwa nilifikiria
tu ni story…ilitrend kama siku mzima kama sijapost anything…kwa sababu najua
Kenyans wanapenda kiki, na mimi mwenyewe bado sikuwa na ukweli…mpaka saa zile
nilipata ile gazette notice sasa ndio nikakuja kupost,” he added.
His appointment has since sparked
sharp public debate, with a section of Kenyans questioning his suitability; particularly
citing his lack of formal education and his absence from recent Gen-Z-led
protests.
Responding to the criticism,
Gaucho dismissed the concerns, arguing that his role on the board is not
technical but representative.
“Baadhi ya Wakenya wanapinga
uteuzi wangu katika board ya hospitali ya Mama Lucy Kibaki kwa sababu
sikushiriki maandamano ya Gen-Z. Sisi pia tulipokuwa tukiandamana na sufuria na
mwiko wlitupinga ya kwamba tunaharibu amani…eti tuko na ujinga. Hii kitu ni
kuserve interests za wananchi. Sijaenda pale kupeleka udaktari wangu…madaktari
wako pale wa kufanya kazi ya udaktari…hakuna siku utapata nimeweka ile kitu
(stethoscope) kwa shingo yangu naenda kupima mtu,” he said.
He acknowledged that he dropped
out of school in Class Six, but maintained that his lived experience equips him
to represent youth from informal settlements.
“Ni kweli nimewacha shule katika
darasa la sita. Lakini nimeteuliwa kuwawakilisha vijana wa ghetto…mimi kama
ghetto president, naelewa mashida zao…unapata msichana amepata mimba, mwanaume
amehepa, amezaa pale Mama Lucy, nah ana mtu atamsaidia ili atoke. Sasa mimi
kama Gaucho ambaye anawakailisha hao vijana na naelewa shida zao, naweza omba
board to waive bill ya huyo msichana aende. Sasa hiyo inataka degree gani?” He
posed.
Gaucho also addressed accusations
labeling him a “goon,” linking the perception to socio-economic realities in
informal settlements rather than individual conduct.
“Hii story ya goon inatokea situation ambayo tumelelewa nayo. Watu wa Kijiji, kwa sababu tunakula kibahati na tunalala late, kwa sababu either unakula miraa kwa base ili usahau ya kwamba hujalipa nyumba ama hujaoa, sura yetu inakuwa ngumu," he said.
"That’s why tunaitwa goons, juu ya sura pekee yake…Wale wanafanya vijana waonekane goons, ni viongozi ambao tumechagua. Hakuna kijana anaweza toka Dandora, Mathare ama Korogocho akuje town na rungu kama hajapewa hiyo rung una kiongozi ambaye nyinyi wenyewe mliweka kwa kiti.”

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!