Mwanamume awauwa wanawe 2 na mkewe
Audio By Vocalize
Hofu na huzuni zimetenada katika kijiji kimoja katika eneo bunge la Murang’a ambapo mtu mmoja ameripotiwa kuua wanawe wawili, mkewe kabla ya kujitia kitanzi. Wanakijiji wamemtaja mtu huyo kuwa mnyamavu ambaye hakuwa na mameno mengine. Haijabainika sbabu ya kufanya hivyo.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!