Mwanamume awauwa wanawe 2 na mkewe

Shisia Wasilwa
By Shisia Wasilwa October 25, 2016 09:59 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Hofu na huzuni zimetenada katika kijiji kimoja katika eneo bunge la Murang’a ambapo mtu mmoja ameripotiwa kuua wanawe wawili, mkewe kabla ya kujitia kitanzi. Wanakijiji wamemtaja mtu huyo kuwa mnyamavu ambaye hakuwa na mameno mengine. Haijabainika sbabu ya kufanya hivyo.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!