Mtoto mmoja afariki baada ya kupewa chanjo ya Surua

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru January 18, 2018 08:19 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

katika kaunti ya Bomet, mtoto mmoja aliaga dunia hapo jana baada ya kupokea chanjo ya ugonjwa wa Surua. Mtoto huyo aliyepelekwa katika hospitali ya Tenwek alikuwa na wengine tano waliopewa chanjo hiyo siku ya jumatatu. Hatua hii imeilazimu serikali ya kaunti ya bomet kuairisha operesheni ya chanjo hiyo.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!