Mgomo wa madaktari

Citizen Reporter
By Citizen Reporter February 23, 2017 08:36 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mahakama ya rufaa imeipa chama cha mawakili,  na tume ya kutetea haki za kibinadamu muda wa siku saba kumaliza mazungumzo yanayonuiwa kutafuta suluhu ya mgomo wa madaktari ulioingia siku yake ya 81 hii leo.

Hii ni baada ya pande hizo kuwasilisha ripoti iliyoonyesha walikofika na mazungumzo hayo.

Haya yanajiri huku serikli ikiendelea kushikilia kuwa mkataba wa maelewano ulioafikiwa na madaktari hauwezi kuteketezwa jinsi ulivyo.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!