Mabasi Mapya Jijini
Audio By Vocalize
Sekta ya uchukuzi wa umma inaonekla kuimarika katika jiji la nairobi baada ya wahudumu wa matatu wa kibinafsi kuzindua mabasi mapya ambayo yana uwezo wa kubeba takriban abiria 130 na zaidi kwa wakati mmoja moja.
Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Asasha Elizabeth, hatua hiyo inalenga kupungunguza msongamano wa magari jijini na kuboresha usafiri.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!