Mabasi Mapya Jijini

Joan Mwai
By Joan Mwai August 24, 2016 07:58 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Sekta ya uchukuzi wa umma inaonekla kuimarika katika jiji la nairobi baada ya wahudumu wa matatu wa kibinafsi kuzindua mabasi mapya ambayo yana uwezo wa kubeba takriban abiria 130 na zaidi kwa wakati mmoja moja.
Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Asasha Elizabeth, hatua hiyo inalenga kupungunguza msongamano wa magari jijini na kuboresha usafiri.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!