Kiwewe chazidi kuwakumba mawaziri ambao waliachwa nje

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru January 16, 2018 08:38 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Siku kumi tangu Rais Kenyatta kutoa majina ya watu tisa ambao ananuia kuwajumuisha kwenye baraza la mawaziri, taifa limebaki kukisia mipango ya rais kuhusu uundaji wa baraza la mawaziri. Haya ni kutokana na majina ya watatu waliotarajiwa kuchunguzwa na bunge wiki jana akukosa kuwasilishwa bungeni hadi sasa, na rais akibana majina ya kumi na watatu waliosalia.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!