Kiwewe chazidi kuwakumba mawaziri ambao waliachwa nje
Audio By Vocalize
Siku kumi tangu Rais Kenyatta kutoa majina ya watu tisa ambao ananuia kuwajumuisha kwenye baraza la mawaziri, taifa limebaki kukisia mipango ya rais kuhusu uundaji wa baraza la mawaziri. Haya ni kutokana na majina ya watatu waliotarajiwa kuchunguzwa na bunge wiki jana akukosa kuwasilishwa bungeni hadi sasa, na rais akibana majina ya kumi na watatu waliosalia.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!