Jubilee imewekeza katika miradi ya manifesto yake
Audio By Vocalize
Bajeti ya mwaka 2017/2018 ni ya kipekee, na Jubilee imewekeza sana katika miradi iliyoorodheshwa kwenye manifesto ya Jubilee kabla ya uchaguzi mkuu wa 2013. Waziri wa hazina ya kitaifa Henry Rotich akitenga mabilioni ya pesa kwenye miradi ya miundo mbinu, elimu, usalama wa kitaifa, afya na huduma za jamii.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!