Jubilee imewekeza katika miradi ya manifesto yake

Jacques Masea
By Jacques Masea March 30, 2017 08:24 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Bajeti ya mwaka 2017/2018 ni ya kipekee, na Jubilee imewekeza sana katika miradi iliyoorodheshwa kwenye manifesto ya Jubilee kabla ya uchaguzi mkuu wa 2013. Waziri wa hazina ya kitaifa Henry Rotich akitenga mabilioni ya pesa kwenye miradi ya miundo mbinu, elimu, usalama wa kitaifa, afya na huduma za jamii.

latest stories

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!