Hospitali ya Kenyatta yakana kuwatelekeza akina mama wajawazito

Anne Mawathe
By Anne Mawathe August 04, 2017 08:20 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Hospitali ya Kenyatta imepuuzilia mbali uchunguzi wa Citizen uliobaini kuwa wadi ya akina mama kujifungua imetelekezwa huku ikiwa na uchafu na akina mama wakilazimika kulala zaidi ya mmoja kwenye kitanda kimoja.
Mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo Lilly Koros anakiri kwamba kuna idadi kubwa sasa ya akina mama wanaojifungulia kwenye hospitali hiyo sababu ya mgomo wa wauguzi wa hospitali za kaunti. Hata hivyo amekana kwamba usimamizi wa hospitali ni wa kutiliwa shaka.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!