Gavana Kingi kufika mbele ya tume ya EACC kesho
Audio By Vocalize
Gavana wa Kilifi Ammerson jefa kingi hapo kesho anatarajiwa kujiwasilisha katika tume ya maadili na kupambana na ufisadi kuelezea kuhusu milioni 308 zilivyotumika mbali na milioni 51 zilizopotea hapo awali.aidha uchunguzi umebaini kwamba pesa hizo za umma zilitumiwa na watu binafsi.meza ya nipashe imepata stakabadhi inayoelezea jinsi miradi ghushi ilivyotumika kwa ufujaji wa fedha za umma.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!