DOKEZO LA AFYA | Homa ya Chikungunya

Mwanahamisi Hamadi
By Mwanahamisi Hamadi January 11, 2018 08:12 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Kuna ugonjwa ambao umeangaziwa mno na vyombo habari baada ya kuzua hofu eneo la pwani kufuatia maafa. Kufikia sasa wizara ya afya ikithibiditisha zaidi ya vifo 30 vilivyotokana na ugonjwa huo unaojulikana kama chikungunya. Ili kuulewa zaidi ugonjwa huo Nilizungumza na Daktari Salim Ali Hussein aliyenipa ufanunuzi katika dokezo la afya linalofuata sasa.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!