DOKEZO LA AFYA | Homa ya Chikungunya
Audio By Vocalize
Kuna ugonjwa ambao umeangaziwa mno na vyombo habari baada ya kuzua hofu eneo la pwani kufuatia maafa. Kufikia sasa wizara ya afya ikithibiditisha zaidi ya vifo 30 vilivyotokana na ugonjwa huo unaojulikana kama chikungunya. Ili kuulewa zaidi ugonjwa huo Nilizungumza na Daktari Salim Ali Hussein aliyenipa ufanunuzi katika dokezo la afya linalofuata sasa.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!