Daktari anataka ukeketaji uruhusiwe

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru January 17, 2018 08:26 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Je, mwanamke aliyekomaa anaweza kupatiwa fursa ya kujiamulia iwapo angetaka kufanyiwa ukeketaji au la? Na je, sheria inayoharamisha ukeketaji inastahili kubatilishwa? Ndio masuali yanayomkabili Jaji David Kemei anaposikiza kesi inayotaka sheria hiyo kubatilishwa. Daktari Tatu Kamau ambaye amewasilisha kesi hiyo anataka wanawake ambao ni watu wazima kupewa nafasi ya kujiamulia wanachotaka kufanya na mwili wao.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!