Daktari anataka ukeketaji uruhusiwe
Audio By Vocalize
Je, mwanamke aliyekomaa anaweza kupatiwa fursa ya kujiamulia iwapo angetaka kufanyiwa ukeketaji au la? Na je, sheria inayoharamisha ukeketaji inastahili kubatilishwa? Ndio masuali yanayomkabili Jaji David Kemei anaposikiza kesi inayotaka sheria hiyo kubatilishwa. Daktari Tatu Kamau ambaye amewasilisha kesi hiyo anataka wanawake ambao ni watu wazima kupewa nafasi ya kujiamulia wanachotaka kufanya na mwili wao.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!