Bara la Afrika kufaidi Ksh. Trililioni tatu kutoka Japan

Joan Mwai
By Joan Mwai August 27, 2016 10:09 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Bara la Africa litafaidi dola bilioni 30 au takriban shilingi trilioni 3 kama uwekezaji kutoka taifa la Japan. Mpango huu ambao unatekelezwa kwa ushirikiano baina ya serikali na sekta ya kibinafsi unalenga kuimarisha miundo mbinu, sekta ya afya na udumishaji wa usalama katika kipindi cha miaka mitatu ijayo. Haya yalitangazwa wakati wa ufunguzi rasmi wa kongomano la TICAD hapa jijini..

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!