Wakulima wataka marafuku ya uagizaji kuku kutoka Uganda izidishwe

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Wadau katika sekta ya ndege wa kufugwa wametoa wito kwa serikali kutoondoa marufuku iliyowekwa dhidi ya ununuzi wa kuku na mayai kutoka taifa jirani la Uganda. Wadau hao wanahofia uwepo wa chemichemi za homa ya ndege iliyoripotiwa katika taifa hilo mwezi jana. Wanataka marufuku hiyo izidishwe kwa angalau miezi sita ili kutoa hakikisho la usalama kwa wakenya na wafugaji wa ndege kwa jumla.

Tags:

uganda Mayai Bird Flu kuku

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.