Wakazi Wa Nairobi Wanavyoteseka Barabarani

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Msongamano wa magari jijini Nairobi unazidi kuwa kero kwa wakazi wengi wa Nairobi licha ya serikali kujisatiti katika ujenzi wa barabara za kisasa. Mwanahabari wetu Tom Wanjala anatueleza jinsi hali hii inazidi kuwa mbaya zaidi kila kuchao na maeneo yaliyoathirika na msongamano huu.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.