'Not on my watch!' President Ruto vows next week's three-day anti-govt demos will not happen
President William Ruto has
reiterated that he will not allow anti-government demonstrations to take place
next week despite opposition leader Raila Odinga urging his followers to take
to the streets in protest of the current regime.
Ruto's sentiments came just hours after the Azimio La Umoja One Kenya Coalition Party declared that it will hold the protests for three consecutive days next week, from Wednesday to Friday, due to 'public demand'.
Speaking in Nakuru County on Friday after launching the Njabini-Naivasha Road, President Ruto underscored that violence and destruction of property, which have become the norm during the protests, will no longer occur under his watch.
"Walifanya maandamano Ijumaa iliyopita watu saba wakakufa; wamefanya maandamano juzi watu nane wakakufa. Mliona vile mali iliharibika Nairobi na vile vijana wamelipwa wafanye fujo? Mnataka tuendelee na hii maandamano?" posed Ruto.
"Maandamano haiwezi kufanyika tena katika taifa letu la Kenya. Hiyo wanasema Wednesday, hiyo maandamano haiwezekani. Huyo mtu wa Kitendawili, alileta fujo, alileta mapinduzi watu wakakufa kule nyuma."
Ruto added that the former premier has been a thorn in the side of past governments for decades, further noting that Raila gave the Late President Mwai Kibaki a hard time in 2008's coalition government.
"Akakuja akaangamiza mzee Kibaki, mara choo, mara sijui carpet. Mpaka mzee akafanya kazi lakini kazi hiyo haikuendelea vile ilikuwa inatakikana," he said.
Ruto likewise faulted Raila for allegedly derailing the realisation of the Big 4 Agenda, first mooted during former President Uhuru Kenyatta's government.
"Akakuja akachanganya Uhuru, ile mambo yetu ya Big 4 ikapotea...tukaenda BBI mpaka tukaingia madeni. Saa hii tuko na deni ya trilioni tisa," said Ruto.
Ruto subsequently urged Raila to stop living in the past since he lost last year's presidential elections.
"Nataka kumwambia Bwana Raila Odinga, uchaguzi iliisha mwaka uliopita. Huwezi kutafuta uongozi wa taifa letu la Kenya kutumia damu ya wananchi, maafa ya wananchi na kuharibu mali ya Kenya," he said.
"Hiyo haiwezekani na hakuna vile utabadilisha Kenya kwa hiyo barabara unaenda na hiyo barabara umeenda nataka kukuhakikishie, mimi niko na wewe macho kwa macho. Tutakutana; haiwezekani."
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment