Mwanafunzi Afariki Chuo Cha Nairobi, Kikuyu

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mwanafunzi mmoja amefariki na wengine zaidi ya 170 kujeruhiwa baada ya milipuko iliyosababishwa na nyaya za umeme chini ya ardhi katika mojawapo ya chuo kikuu cha Nairobi iliyoko eneo la Kikuyu. Kisa hicho kilichojiri siku chache baada ya shambuzili la Garissa kiliwatia hofu  wanafunzi wengi  na walijeruhiwa walipokuwa wakiruka kutoka katika vyumba vya kulala. Mwanahabari wetu Gatete Njoroge ametuandalia taarifa.

 

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.