Legendary broadcaster Leonard Mambo Mbotela buried at Lang'ata Cemetery

Veteran broadcaster Leonard Mambo Mbotela during a past interview. PHOTO | COURTESY
Legendary broadcaster Leonard Mambo Mbotela was on Saturday
laid to rest at the Lang'ata Cemetery as friends and colleagues joined the
family in bidding the broadcaster a final farewell.
Mbotela, known for his iconic presence on the airwaves, was
laid to rest in an emotional ceremony marking the end of an era.
However, his dedication and passion for broadcasting leave an
indelible mark in the hearts of many, as his voice on the airwaves defined generations.
The legend will be remembered for his famous program ‘Je, Huu
Ni Ungwana?’
"Tumekubali Mungu amempenda baba zaidi kuliko sisi. Mungu
ametupa baba miaka themanini na nne. Ingefika tarehe ishirini na tisa, mwezi wa
tano, baba angekuwa na miaka themanini na tano. Kwa hiyo miaka ambayo
ametupatia, tunamwambia Mungu asante kwa sababu yeye ndiye anapeana na yeye
ndiye anachukua,” said Jimmy Mbotela, the deceased’s son.
National Heroes Board Chairperson Dr. Adan Wachu, on his part,
said, “Mungu ampeleke mahali pema peponi kwa yale yote huyu mwenzetu mzee
aliyoyatenda akiwa hai katika dunia hii. Hiyo ndiyo itamfaa pale mbele. Kwa
hivyo, asanteni sana, tuko nanyi familia, na tunawafariji kwa hali ya
juu."
Fria Town community members however took issue with the burial
site of Mbotela, noting that he should have been laid amidst his kinsfolk.
"Lakini kila mmoja anauliza, 'Kwa nini Lenny hazikwi huko
kwetu Fria Town, ambako wakubwa wetu wote walizikwa?' Hilo kitu limetusumbua
sana, na hata ndugu yangu Leonard hapa amejitahidi kutuambia, lakini ilitugusa
sana. Anyway, hiyo ishafanyika. Ningeomba tu huko mbele watu wa Fria Town,
tafadhali, akifa huku, service ifanywe Nairobi lakini mwili mtuletee Fria Town
wazee wake walipo lala," Fria Town Community chairman Eric Levi
said.
Mbotela, passed away on Friday last week at around 9:30 a.m.
after a long illness.
According to his younger brother Donald Mbotela, the
celebrated broadcaster had been hospitalised for the last two weeks.
He had a long and distinguished career in Kenyan media,
earning admiration for his ability to connect with audiences across
generations.
The deceased has left behind a wife, Alice, and three
children: Aida, Jimmy, and George.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment