Kenyatta: Wenye Nyumba Duni Kukamatwa

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Rais Uhuru Kenyatta ameelekeza nyumba ambazo zimejengwa bila kuzingatia kanuni za ujenzi hapa Nairobi kubomolewa mara moja. Rais ambaye amezungumza akiwa ziara ya mitaa duni kadhaa hapa Nairobi, amesema serikali yake kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya Nairobi wataanza shughuli ya ukaguzi na kuwa wahusika katika ujenzi wa nyumba zinazobomoka watachukuliwa hatua za kisheria.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.