Uhuruto wakariri mshikamano wao serikalini

Faiza Wanjiru
By Faiza Wanjiru January 09, 2018 08:10 (EAT)
Add as a Preferred Source on Google
Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais wameonekana pamoja hadharani kwa mara ya kwanza tangu rais kutangaza majina ya watu tisa ambao anawapendekeza kuwa mawaziri. Rais na naibu rais walihudhuria mazishi ya maaskofu watatu waliofariki kufuatia ajali ya barabarani. Naibu rais aliwataka viongozi na wananchi kuacha kumshinikiza rais na badala yake kumwachia jukumu la kuwachagua mawaziri wake.

Join the Discussion

Share your perspective with the Citizen Digital community.

Moderation applies

Sign In to Publish

No comments yet

This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!