Uhuruto wakariri mshikamano wao serikalini
Audio By Vocalize
Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais wameonekana pamoja hadharani kwa mara ya kwanza tangu rais kutangaza majina ya watu tisa ambao anawapendekeza kuwa mawaziri. Rais na naibu rais walihudhuria mazishi ya maaskofu watatu waliofariki kufuatia ajali ya barabarani. Naibu rais aliwataka viongozi na wananchi kuacha kumshinikiza rais na badala yake kumwachia jukumu la kuwachagua mawaziri wake.

Join the Discussion
Share your perspective with the Citizen Digital community.
No comments yet
This discussion is waiting for your voice. Be the first to share your thoughts!