Sherehe za kuvunja vyama, Bomas na Kasarani

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Hafla za kuvunjiliwa mbali kwa vyama kumi na moja ambavyo sasa vitaunda chama kipya cha Jubilee zilisheheni mwembwe na tafrija na kila aina huku maelfu ya wajumbe wa vyama hivyo wakikongamana katika kumbi za Bomas na Kasarani jijini Nairobi. Hali ya usalama iliimarishw akwatika kumbi hizo ambazo licha ya shamrashamra, hakukukosa mvutano. Mwanahabari wetu Faiza Maganga na taarifa hiyo

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.