Majaji ; marudio ya uchaguzi wa urais hayakuhitaji uteuzi upya
Published on: December 11, 2017 08:40 (EAT)
Audio By Vocalize
Majaji hao walisoma uamuzi wa kina hii leo ambao ulifutilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa Uhuru Kenyatta kwenye marudio ya uchaguzi
Majaji hao wamesema kuwa kinara wa Nasa Raila Odinga hakujiondoa kwenye uchaguzi kulingana na sheria zilizopo


Leave a Comment