Wasichana zaidi ya 60 walibaki shuleni kwa hofu ya kukeketwa
Published on: January 01, 2018 08:44 (EAT)
Minyororo ya itikadi za utamaduni imemfunga msichana katika jamii mbalimbali nchini ikiwemo ya wamaasai kwa muda mrefu. Lakini sasa vita dhidi ya uovu huo vimemepigwa jeki na vituo vya shule za kuwanusuru wasichana kutoka mila potovu ya ukeketeji na ndoa za mapema katika eneo la Kajiado ya kati.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment