Wakurugenzi wa Benki ya Chase waliiba sh bilioni 33
Published on: April 12, 2017 09:27 (EAT)
Inakisiwa kuwa shilingi bilioni 33 ziliporwa katika benki ya chase na sasa benki kuu iko kwenye harakati za kusaka pesa hizo kutoka kwa wakurugenzi wakuu na wanahisa wanaohusishwa. Stakabadhi ambazo nipashe imezipata zinaonyesha kuwa waliokuwa wakurugenzi na wana hisa walishirikiana kuilaghai benki hiyo pesa hizo katika sakata inayowahusisha watu wengine sita na kampuni 11.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment