Wagonjwa zaidi walalamikia mateso hospitalini Kenyatta
Published on: January 20, 2018 08:31 (EAT)
Ziara ya wabunge wanawake katika hospitali ya kitaifa Kenyatta yafichua mateso zaidi wanayopitia wagonjwa ikiwa ni pamoja na kulala sakafuni na dhulma zinginezo. Kwa wagonjwa wanaolazwa bado kizungumkuti kinaendelea kushuhudiwa katika hospitali kuu ya Kenyatta kufuatia mjadala uliozuka hapo jana katika mitandao ya kijamii kuhusu wanawake waliojifungua kubakwa na wahudumu wa vyumba vya kuhifadhi maiti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment