Mtoto mmoja afariki baada ya kupewa chanjo ya Surua
Published on: January 18, 2018 08:19 (EAT)
katika kaunti ya Bomet, mtoto mmoja aliaga dunia hapo jana baada ya kupokea chanjo ya ugonjwa wa Surua. Mtoto huyo aliyepelekwa katika hospitali ya Tenwek alikuwa na wengine tano waliopewa chanjo hiyo siku ya jumatatu. Hatua hii imeilazimu serikali ya kaunti ya bomet kuairisha operesheni ya chanjo hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment