Mtoto auawa na nguvu ya umeme huko Kimende, Kiambu
Published on: November 03, 2017 08:44 (EAT)
Wanakijiji wa Kimende wanaomboleza kifo cha msichana wa miaka kumi na mitatu ambaye alipigwa na umeme alipotumwa na mamake dukani. Inaarifiwa kuwa alikumbana na mauti aliposhika nyaya za umeme zilizokuwa zikinging’inia pembeni mwa ua.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment